Tutakuangazia Duniani kote, tukikupa habari, maoni, na mitazamo mbalimbali ju ya maswala ya maisha yetu ya kila siku kama Familia, Mahusiano, Elimu, Teknolojia,Michezo, sanaa, ubunifu, mavazi na mitindo Mafanikio, lengo letu ni kuelimisha, kuburudisha na kufundisha.
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
This podcast is for speeches of the President of United Republic of Tanzania Hon. Samia Suluhu Hassan
…
continue reading
1
AFCON 2025: Safari ya kuelekea Morocco yaanza kwa mataifa ya Afrika
24:02
24:02
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
24:02
Tuliyokuandalia ni pamoja na matokeo na uchambuzi wa mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika 2025, kifo cha mwanariadha wa Uganda nchini Kenya, matokeo ya Zurich Diamond League, matokeo ya U18 Afrobasket na Congo Cup, uchambuzi wa matokeo ya mataifa ya Afrika kwenye Olimpiki ya walemavu jijini Paris, mechi za Ligi ya Mataifa ya Ulaya na tuzo za …
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA MKUTANO WA JUKWAA LA USHIRIKIANO KATI YA CHINA NA VIONGOZI WAKUU WA AFRIKA ,BEIJING ,CHINA Tarehe 05,Septemba ,2024
6:42
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA KILELE CHA MIAKA 60 YA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)
19:39
19:39
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
19:39
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Mashindano ya Tong IL Moo Do, Mombasa Open yafutiliwa mbali kutokana na ufadhili
23:52
23:52
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:52
Tuliyokuandalia ni pamoja na michuano ya kufuzu klabu bingwa kwa kina dada, uchambuzi wa vikosi vya timu za Afrika Mashariki na kati kuelekea mechi za kufuzu AFCON 2025, matokeo ya riadha ya Rome Diamond League na riadha za dunia U20, mashindano ya Tong IL Moo Do Mombasa Open kufutiliwa mbali, matokeo ya Olimpiki ya walemavu na uhamisho wa wachezaj…
…
continue reading
1
Mashindano ya kimataifa, Mombasa Open Tong IL Moo Do 2024 yacheleweshwa kwa wiki
23:51
23:51
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:51
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa mechi za kufuzu klabu bingwa Afrika, riadha za Diamond League, FIBA Afrobasket kwa kina dada, hatma ya mashindano ya Mombasa Open Tong IL Moo Do mwaka huu, unachostahili kujua kuhusu Olimpiki ya walemavu inayoanza wiki ijayo jijini Paris huku kiungo Ilkay Gundogan akirejea klabuni Man City.…
…
continue reading
1
Namna wanariadha wa Afrika walivyopokelewa kutoka Olimpiki ya Paris
24:08
24:08
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
24:08
Jumamosi hii tumezungumzia namna wanariadha wa Afrika walivyopokelewa na mataifa yao kutoka Olimpiki ya Paris, michuano ya klabu bingwa Afrika imeanza kusaka tiketi ya hatua ya makundi, uhamisho tata wa wachezaji wa soka nchini Kenya huku ligi za Afrika Mashariki na Ulaya zikianza kurejea, Mbappe ashinda taji la kwanza Real Madrid, Pochettino kuwa …
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA NANE NANE MKOANI DODOMA
31:49
31:49
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
31:49
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Paris Olimpiki: Tamirat Tola kutoka Ethiopia ndiye mshindi wa mbio za marathon
19:48
19:48
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
19:48
Tuliyokuandalia Jumamosi hii kutoka taasisi ya Alliance Francaise, ni pamoja na uchambuzi wa matokeo ya marathon, riadha na mashindano mengine ya Olimpiki ya Paris yaliyotukia wiki hii. Pia tunaangazia fainali kubwa zinazosubiriwa jioni ya leo na kesho asubuhi kwenye marathon ya kina dada lakini pia kifo cha aliyekuwa rais wa tano wa shirikisho la …
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU 6 MKOANI MOROGORO ,TAREHE 06,AGOSTI 2024.
41:00
41:00
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
41:00
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Jamhuri ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya Kikazi tarehe 06 Agosti, 2024.Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHESHIMIWA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA IFAKARA MKOANI MOROGORO ,TAREHE 05,AGOSTI 2024
34:50
34:50
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
34:50
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Jukwaa La Michezo: Fainali ya mita 100 kwa wanaume yasubiriwa, Olimpiki Paris
23:54
23:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:54
Tuliyokuandalia ni pamoja na matokeo ya Olimpiki hapo jana raia wa St Lucia Julien Alfred akishindia taifa lake medali ya kwanza ya Olimpiki, Sudan Kusini yaaga mashindano ya basketboli kibingwa, uchambuzi wa wanariadha wa Afrika Mashariki wanaotarajiwa kushiriki nusu fainali na fainali kadhaa leo usiku na kesho, uchambuzi wa mechi za nusu fainali …
…
continue reading
1
Hotuba ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua barabara ya Kilosa -Rudewa (km 24) pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Kilosa Mkoani Morogoro wakati ya ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro ,tarehe ...
12:25
12:25
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
12:25
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Jukwaa La Michezo: Cheptegei aishindia Uganda medali ya kwanza Olimpiki ya Paris
23:43
23:43
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:43
Joshua Cheptegei ashinda medali ya dhahabu kwenye mbio za mita 10,000 huku Malkia Strikers ikibanduliwa mashindanoni. Morocco na Misri zafuzu nusu fainali huku waafrika kwenye uogeleaji wakifanya vibaya. Pia tutakufahamisha matokeo ya judo, basketboli, kuendesha basikeli na jedwali la medali ambapo Uchina inazidi kuongoza jedwali hilo…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA UZINDUZI WA SAFARI YA TRENI YA UMEME NA MWENDOKASI YA SGR KATIKA KITUO CHA SAMIA ,DODOMA TAREHE 01 AGOASTI,2024
35:54
35:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
35:54
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Paris Olimpiki: Ufaransa yashinda dhahabu ya raga, Kenya ikimaliza nambari tisa
23:55
23:55
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:55
Tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa matokeo ya Olimpiki na mjadala kuhusu wanariadha wanaotarajiwa kung'ara kwenye Olimpiki wiki ijayo riadha zitakapoanza pamoja na matokeo ya Toyota Cup Yanga ikiilaza Kaizer Chiefs huku George Russel akishinda mkondo wa Belgian GP kwenye mashindano ya langalanga.…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA KATIKA MKUTANO NA MACHIFU IKULU CHAMWINO MJINI DODOMA ,JULAI 20 ,2024
34:54
34:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
34:54
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Olimpiki ya Paris: Mambo muhimu ya kujua kuhusu mashindano ya mwaka huu
17:22
17:22
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
17:22
Tuliyokuandalia ni pamoja na mambo muhimu unahitaji kujua kuhusu Olimpiki ya mwaka huu kabla ya kuanza, uchambuzi wa fainali ya CECAFA Kagame Cup kati ya APR ya Rwanda na Red Arrows ya Zambia, tetesi za uhamisho Afrika Mashariki n aUlaya pamoja na matokeo ya Tour de France ikielekea ukingoni huku kocha wa Uingereza Gareth Southgate akijiuzulu kuifu…
…
continue reading
1
Timu ya Kenya yaanza kuwasili Miramas, Ufaransa tayari kwa Olimpiki
23:54
23:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:54
Tuliyokuandalia ni pamoja na droo ya hatua ya awali kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika msimu ujao, matokeo ya Monaco Diamond League, Team Kenya yaanza kuwasili Ufaransa tayari kwa Olimpiki, matokeo ya CECAFA Kagame Cup na tetes iza uhamisho pamoja na uchambuzi wa fainali ya EURO, Copa America na fainali za tenisi kwenye Wimbledon.…
…
continue reading
1
Shirikisho la soka barani Afrika CAF latangaza droo ya michuano ya kufuzu AFCON 2025
23:55
23:55
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:55
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa droo ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya mwaka 2025, fainali ya Cosafa Cup, mipango ya Team Kenya kuelekea Olimpiki ya mwaka huu, uchambuzi wa mechi za robo fainali michuano ya Euro na Copa America, raia wa Eritrea Girmay Hailu Biniam ashinda hatua ya nane ya Tour de France wakati kocha…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ALIPOSHIRIKI UZINDUZI WA MAONESHO YA 48 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR ES SALAAM (SABASABA) NA MGENI WAKE MHE. FELIPE JACINTO NYUSI ,RAIS WA JAMHURI YA MSUMBIJI ...
13:10
13:10
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
13:10
How does one transform from a junior officer to a recognized leader? Our special guest recounts their inspiring journey, expressing heartfelt gratitude to the remarkable people and supporters who have been pivotal along the way. Hear personal acknowledgments to Mama Mkapa and the National Council, and uncover the power of collaboration and dedicati…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI WAKATI WA ZIARA YA KIKAZI YA RAIS WA JAMHURI YA MSUMBIJI ,MHESHIMIWA RAIS FELIPE JACINTO NYUSI
15:26
15:26
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
15:26
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
CAF: Kenya Police FC yafuzu kushiriki Kombe la Shirikisho barani Afrika msimu ujao
23:54
23:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:54
Tumekuandalia mengi ikiwemo matokeo na uchambuzi wa mashindano ya COSAFA Cup inayoendelea nchini Afrika Kusini, Leopards voliboli ya ufukweni yafuzu Kombe la Dunia wakati Kinshasa yajiandaa kuandaa mechi za kufuzu kombe la mataifa ya Afrika mchezo wa basketboli ya kutumia viti vya magurudumu, Kenya yateua kikosi kitakachoshiriki riadha za dunia U20…
…
continue reading
1
CAF yatangaza tarehe mpya kwa michuano ya AFCON na WAFCON 2025
23:47
23:47
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:47
Tuliyokuandalia ni pamoja na matokeo ya riadha za Afrika nchini Cameroon, matokeo ya tenisi ya Davis Cup nchini Angola, bondia wa DRC Christophe Mputu ashinda medali ya 70, watu 13 wapigwa marufuku nchini Uganda kwa visa vya upangaji mechi, Ons Jabeur na Aryna Sabalenka kukosa Olimpiki kuzingatia afya yao.…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA AZINDUZI WA KONGAMANO LA PILI LA MAENDELEO YA SEKTA YA HABARI
1:01:32
1:01:32
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
1:01:32
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Kipyegon, Omanyala wafuzu Olimpiki ya Paris kwenye mchujo wa kitaifa
23:43
23:43
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:43
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na mchujo wa kitaifa wa Kenya kuteua timu itakayowakilisha kwenye Olimpiki ya Paris mwaka huu, Kenya yakosa kupandishwa daraja kwenye tenisi mashindano ya Billie Jean King Cup, uwanja wa Amahoro nchini Rwanda umeidhinishwa na FIFA kuandaa mechi za kimataifa, Junior Starlets ipo guu moja kufuzu Kombe la Dunia, …
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI AKIPOKEA RIPOTI YA TUME YA HAKI JINAI YA KUANDAA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA TUME YA KUANGALIA JINAI NCHINI ILIYOFANYIKA CHAMWINO ,DODOMA ...
22:54
22:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
22:54
What if the key to battling RNA viruses and ensuring community growth lies in legal and educational reforms? In this episode, we dive deep into a conversation with the Minister of Health and other influential figures who have been pivotal in pushing forward critical initiatives. We discuss the incredible progress being made in public health, the es…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ALIPOSHIRIKI KATIKA HAFLA YA KUPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA ,IKULU JIJINI DAR ES SALAAM ,JUNI 11 ,2024.
40:46
40:46
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
40:46
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
French Open: Iga Swiatek ashinda ubingwa wake wa nne wa Roland Garros
23:50
23:50
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:50
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa mechi za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 (Afrika), Kenya kuandaa mashindano ya mchujo kutafuta timu itakayowakilisha katika Olimpîki ya Paris mwezi Julai huku wanamichezo 33 wakipigwa na marufuku kwa kutumia dawa za kusisimua misuli, matokeo ya Congo Cup, kocha Gamondi arefusha mkataba wake kl…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU KATIKA KONGAMANO LA VIONGOZI WA NCHI ZA AFRIKA NA SERIKALI YA KOREA ,SEOUL NCHINI KOREA ,JUNI 05,2024
6:30
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA JUKWAA LA BIASHARA WAKATI WA KONGAMANO LA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA KOREA ,SEOUL NCHINI KOREA ,TAREHE 05 JUNI ,2024
5:34
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KONGAMANO KATI YA WAKUU WA NCHI 30 ZA AFRIKA NA SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA (KOREA-AFRICA SUMMIT) ,GOYANG ,KINTEX NCHINI KOREA KUSINI ,JUNI 04 ,2024 ...
5:20
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KUKUBALI SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA SEKTA YA ANGA KUTOKA CHUO KIKUU CHA SAYANSI YA ANGA (KOREAN AEROSPACE UNIVERSITY) ,SEOUL ,NCHINI KOREA KUSINI ...
19:14
19:14
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
19:14
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
BAL2024: Petro de Luanda yaibuka na taji la Ligi ya Basketboli barani Afrika
23:55
23:55
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:55
Tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa fainali ya Ligi ya Basketboli Afrika mwaka huu, matokeo ya Diamond League mkondo wa Oslo na mchujo wa raga duniani, uchambuzi wa vikosi vya Afrika Mashariki na Kati kuelekea mechi za kufuzu Kombe la Dunia la mwaka 2026, uchambuzi wa Fainali ya Klabu bingwa Ulaya (Dortmund dhidi ya Real Madrid) na matokeo ya…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA UZINDUZI WA MKAKATI WA KITAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA ,TAREHE 08 MEI ,2024 ,JNICC
26:12
26:12
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
26:12
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA AFRIKA,PARIS NCHINI UFARANSA
7:52
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
KIPINDI CHA SONGA NA SAMIA -episode 3
23:18
23:18
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:18
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA UZINDUZI WA ALBUM YA MZIKI WA MAMA YA MSANII RAJAB ABDUL "HARMONIZE"
18:22
18:22
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
18:22
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA
21:37
21:37
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
21:37
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
DRC: Sebastian Desabre arefusha mkataba wake kama kocha wa timu ya taifa
23:46
23:46
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:46
Tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa fainali ya Klabu bingwa Afrika, Tanzania waibuka na kombe la shule za upili afrika mchezo wa soka, fainali za ligi ya basketboli kuanza nchini Rwanda wakati makocha wa Kenya na Uganda wataja vikosi vyao kufuzu Kombe la Dunia na matokeo ya Ligi za ulaya.Door RFI Kiswahili
…
continue reading
1
CAF: Nani ataibuka na taji la Klabu bingwa barani Afrika 2024?
24:42
24:42
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
24:42
Tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka 2024, Zanzibar kuandaa fainali za mashindano ya shule za upili barani Afrika, Mkusanyiko wa michezo kwenye ukanda wa Afrika Mashariki, Maniema yarejea kwenye mashindano ya vilabu barani Afrika, uchambuzi wa mbio za kuwania taji la Uingereza kati ya Man City na Arsenal, N…
…
continue reading
1
Diamond League: Mary Moraa na Beatrice Chebet waibuka washindi riadha za Doha DL
23:53
23:53
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:53
Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha kwenye Doha Diamond League, AFCON UAE kuanza hapo kesho huko Dubai, michuano ya Congo Cup, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Basketboli ya Afrika, Guinea yafuzu fainali za Olimpiki kwenye soka, mechi za kufuzu Kombe la Dunia la U17 kwa kina dada, Mbappe atangaza rasmi kuondoka PSG na uchambuzi wa f…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZINDUA KIWANDA CHA KUUNGANISHA MALORI NA MATIPA CHA SATURN CORPORATION LIMITED,KIGAMBONI JIJINI DAR ES SALAAM
22:56
22:56
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
22:56
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Uganda : Uwanja wa Namboole kuanza kutumika kwa mechi za kufuzu Kombe la dunia
23:54
23:54
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:54
Tuliyokuandalia ni pamoja na Uchambuzi wa orodha ya mwisho ya Kikosi cha Marathon cha Team Kenya kuelekea Olimpiki, watu watano nchini Kenya wapigwa marufuku ya muda kwa madai ya upangaji mechi. Nchini Uganda, Rais wa FUFA asema uwanja wa Naambole utakuwa tayari kuandaa mechi wa kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 na Ligi ya Basketboli barani Afrika m…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (IDA) ULIOFANYIKA NAIROBI ,KENYA APRILI 29 , 2024
6:07
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
KipKeino Classic: Mmarekani Kenneth Bednarek ashinda mbio za mita 100
23:51
23:51
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:51
Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha za KipKeino Classic, uchambuzi wa debi la Tanzania na Mashemeji nchini Kenya, mabondia 11 wa DRC wafuzu nusu fainali ya michuano ya African Boxing Cup, matokeo ya ligi ya basketboli Afrika mkondo wa Nile na Ligi ya Mabingwa barani UlayaDoor RFI Kiswahili
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS WAKATI WA UZINDUZI WA JUKWAA NA UWEKEZAJI NA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA UTURUKI,APRILI 19 ,2024
13:14
13:14
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
13:14
Prepare to unlock the economic treasure chest that is Tanzania, as His Excellency Jebnet Ilmaz, Vice President of the Republic of Turkey, shares an enlightening perspective on the rich partnership blooming between Tanzania and Turkey. If you're curious about the profound impact of international cooperation on business and society, this episode is y…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN YA KUKUBALI UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UCHUMI TOKA CHUO KIKUU CHA ANKARA ,NCHINI UTURUKI ,APRILI 18 ,2024.
14:40
14:40
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
14:40
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading
1
Olimpiki: Nigeria na Zambia zafuzu mashindano ya Olimpiki soka ya kina dada
23:55
23:55
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:55
Kwenye makala haya utasikiliza uchambuzi wa mechi za kufuzu soka ya kina dada Olimpiki na shirikisho la riadha duniani kuwa shirikisho la kwanza kutoa tuzo za fedha, maandalizi kuelekea riadha za KipKeino Classic, mkusanyiko wa michezo DRC, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Tiger Woods na Novak Djokovic waweka historia kubwa dunia…
…
continue reading
1
CAFCL:Simba na Yanga zabanduliwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika
23:45
23:45
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:45
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa hatua ya robo fainali mkondo wa pili michuano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo ya kufuzu soka Olimpiki ya kina dada, mwanasoka wa Afrika Kusini kuuawa, PSG Academy yatoa mafunzo kwa makocha nchini Rwanda, Kenya yatangaza orodha yake ya wanariadha wa mbio za Marathon kwenye Olimpiki ya mwaka huu,…
…
continue reading
1
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA WAKATI AKIZINDUA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI ,JNICC -DAR ES SALAAM ,TAREHE 03 APRIL ,2024
23:49
23:49
Later Afspelen
Later Afspelen
Lijsten
Vind ik leuk
Leuk
23:49
Door Ikulu Mawasiliano
…
continue reading